Katika round ya pili ya DFB-Pokal (kombe la Ujerumani) hazijtakoea maajabu. Timu zote za Erste Bundesliga (daraja la kwanza) zilizocheza na timu za daraja la chini zilishinda. Katika mechi zote mbinu ni kwamba anayefungwa anatoka moja kwa moja kwa hiyo mechi zote ni kama fainali.Dortmund na Hoffenheim walipata taabu kidogo, imebidi waongezewe muda ili wachukue ushindi.
No comments:
Post a Comment