Wednesday, February 27, 2013
Sunday, February 24, 2013
Saturday, February 23, 2013
VIDEO: MTANZANIA ANAEFANYA MAKAMUZI YA AJABU NDANI YA MOTHER AFRIKA CIRCUS
Anaitwa Yusufu Ramadhani, Mwenyeji wa Bagamoyo
Tuesday, February 19, 2013
Monday, February 18, 2013
MZUNGU ALIYEJITOKEZA NA KUDAI KUWA ALIKUWA MUME WA GOLDIE WA PREZZO ATOA USHAHIIDI WA PICHA
Ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa mchumba wa CMB PREZO mwanadada Goldie kutoka Nigeria kufariki, mtu aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Harvey raia wa England ajitokeza na kudai kuwa mrembo huyo ni mke wake wa ndoa na kutoa ushahidi wa picha za harusi yao iliyofungwa mwaka 2005
Friday, February 15, 2013
MWANARIADHA WA AFRIKA KUSINI (OSCAR PISTORIUS) AMUUA MPENZI WAKE SIKU YA VALENTINE
Polisi nchini Afrika kusini wamethibitisha kuupata mwili mwanamitindo Reeva Steenkamp ambae alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanariadha Oscar Pistorius. Mwili huo ambao ulikuwa umbeshambuliwa kwa kupigwa risasi nne sehemu tofauti ulikutwa nyumbani kwa mwanariadha huyo siku ya wapendanao, ambaopo ilithibitika kuwa Oscar ndiye mtuhumiwa namba moja kwa kuwa hakukuwa na mtu yoyote ndani ya nyumba hiyo zaidi ya wawili hao.
Akitoa maelezo yake mbele ya maafisa wa polisi Oscar alisema kuwa siku hiyo alikuwa nyumbani peke yake huku akiwa hana matarajio ya kupata mgeni, laini mpenzi wake huyo alikuja kumtembelea kwa kushtukiza "suprise" lakini yeye hakugundua na kufikiria kuwa labda kavamiwa na majambazi. Wakati akijaribu kujihami akaamua kurusha risasi na baada ya kumshambulia mtu huyo ambae alifikiri kuwa ni jambazi ndipo baadae akagundua kuwa amemuua mpenzi wake. Hata hivyo maafisa wa Polisi hawajatoshelezwa na maelezo hayo yaliyotolewa na Oscar, hivyo uchunguzi bado unaendelea.
Oscar alipokuwa akichuliwa na polisi nyumbyni kwake
Sunday, February 10, 2013
AFTER WORK PARTY in MÜNCHEN
HERZLICH WILLKOMMEN
zur
AFTER WORK PARTY
am 01. März 2013
Sie findet, wie die meisten der Partys von
DJ MAX ENTERTAINMENTS,
in der THEATERFABRIK am
Ostbahnhof statt (für alle, dies noch nicht wissen, das ist gegenüber vom Do Brasil).
Beginn ist um 21.00 Uhr und es geht wie immer bis zum umfallen. Kommt alle und feiert mit uns den wohlverdienten Feierabend am Ende der Woche.
Musik gibt es wieder von unseren besten Dj´s:
DJ RAMA (aus München),
DJ LADY KIARIE (aus Nürnberg) und
DJ TINDO (aus München).
Gespielt wird Dancehall, Hip Hop, Bongo Fleva, Genge, Reggae, Naija Fleva, Makosa, Zouk, R&B, Salsa, Ndombolo, Rhumba, Chakacha, Coupe decale und vieles mehr....
Also kommt alle und habt Spaß bis zum Morgen!!!!!
Saturday, February 9, 2013
Thursday, February 7, 2013
Tuesday, February 5, 2013
HONGERA KITALE KWA KUCHUKUA JIKO
Hamisi Kitale akiwa na mkewe bi Fatma Salum Baada ya kufunga ndoa huku wakiwa na sura za firaha
Tukio la kufungishwa ndoa likiendelea
Kitale akitia sahihi kwenye cheti cha ndoa
Aiiiii!!!! Wanachekaa!!!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)