Ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa mchumba wa CMB PREZO mwanadada Goldie kutoka Nigeria kufariki, mtu aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Harvey raia wa England ajitokeza na kudai kuwa mrembo huyo ni mke wake wa ndoa na kutoa ushahidi wa picha za harusi yao iliyofungwa mwaka 2005
No comments:
Post a Comment