Monday, February 18, 2013

MZUNGU ALIYEJITOKEZA NA KUDAI KUWA ALIKUWA MUME WA GOLDIE WA PREZZO ATOA USHAHIIDI WA PICHA



Ikiwa ni siku chache zimepita tangu aliyekuwa mchumba wa CMB PREZO mwanadada Goldie kutoka Nigeria kufariki, mtu aliyejitambulisha kwa jina la Andrew Harvey raia wa England ajitokeza na kudai kuwa mrembo huyo ni mke wake wa ndoa na kutoa ushahidi wa picha za harusi yao iliyofungwa mwaka 2005




















No comments:

Post a Comment