Wednesday, May 1, 2013

HUYU JAMAA NI BINAMU YAKE RIBERY AMBAE KWA MIAKA MINGI HAWAELEWANI KUTOKANA NA TABIA ZAKE ZA KIHUNI




Mpaka hivi sasa jina lake kamili halijafahamika, lakini ana mahusiano ya kibinamu na Ribery. Mara kadhaa amekuwa akimsumbua kwa kumfuata mazoezini, kambini au kwenye mechi ili kumuomba msamaha lakini hakuwahi kupata nafasi hiyo. ni mtoto ambaye familia inamuona kama mtukutu na kumchukia lakini baaada ya ushimdi na kuingia fainali kwa mara ya kwanza Frank Ribery alimuonesha tabasamu binamu yake na kumpa jezi.

No comments:

Post a Comment