Friday, May 10, 2013

KUTOKA NCHINI UTURUKI, MWAMUZI CUNEYT CAKIR NDIO ALIYECHAGULIWA KUCHEZESHA MECHI YA FAINALI YA MABINGWA WA ULAYA!




Ni raia wa uturuki ambae anasifika kumudu mikikimikiki ya mapambo kadhaa ya mpira wa miguu, pia huwa hana mzaha kwani ni mkali wa kutoa adhabu kali kama ambavyo picha inaonesha. Anaitwa Cuneyt Cakir ndio atakae kuwa mwamuzi siku ya tarehe 25 mwezi huu kunako dimba la Wimbley nchini Uingereza ambapo Nyota Nyekundu ya Kusini "The Bavarians" F.C BAYERN MÜNCHEN watakuwa wakitoana jasho na nyuki wa kaskazini magharibi BORUSSIA DORTMUND kuwania ubingwa wa kombe la ulaya.

No comments:

Post a Comment