Friday, December 28, 2012

HAPPY BIRTHDAY TO GOSSIP COP, MHARIRI MKUU WA GAZETI LA MAKOROKOCHO "SUDI BROWN"







Kwa wale wasikilizaji wa the people station Clouds fm na ambao ni mashabki wa kipindi cha XXL bila shaka huwa wanasikia au kusikiliza jinsi team makorokocho kupitia gazeti lake la Makorokocho likiwa linawasilisha tetesi za mtaani kila siku mida ya mchana kwenye kipindi hicho.

 Kwa niaba ya The Dj Max Entertainments na wapenda burudani wote bila ya kusahau mashabiki wa clouds fm tunampongeza Producer Soud Brown kwa kutimiza miaka kadhaa siku ya leo. Tunamuombea maisha marefu na yenye baraka. Pia tunamuombea Mungu amjaalie kizazi apate watoto wengi sana ili kufanikisha kujaza dunia "Samahani lakini" si kwa ubaya!!!!!

          YOU HEARD???????

No comments:

Post a Comment