Wednesday, January 2, 2013

R.I.P SADIKI JUMA KILOWOKO (SAJUKI)


Aliyekuwa mwgizaji maarufu wa Bongo Movie nchini Tanzania na ambaye pia ni Mume wa Star mwingine Wastara Juma hatunae tena Duniani. Habari za kuaminika zinasema kuwa Sajuki amefariki dunia Alfajiri ya leo. Bwana ametoa na bwana ametwa, Jina la bwana litukuzwe. 


No comments:

Post a Comment