Sunday, March 3, 2013

MCHUMIA TUMBO AMCHAKAZA MARWA




Bondia anaekuja kwa kasi sana katika fani ya masumbwi kutoka mitaa ya Temeke jijini Dar es Salaam anaejulikana kwa jina maarufu la Mchumia tumbo, usiku wa jana amemtoa kijasho na kumpa kichapo mkongwe Josseph Marwa.

No comments:

Post a Comment