Dj Max
Sunday, March 3, 2013
MCHUMIA TUMBO AMCHAKAZA MARWA
Bondia anaekuja kwa kasi sana katika fani ya masumbwi kutoka mitaa ya Temeke jijini Dar es Salaam anaejulikana kwa jina maarufu la Mchumia tumbo, usiku wa jana amemtoa kijasho na kumpa kichapo mkongwe Josseph Marwa.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment