MWALI ATUA MUNICH
hayawi hayawi sasa yamekuwa, kama picha inavyojieleza hapo juu kuwa yule mwali anaetarajiwa kuwaniwa kwa jasho mnamo wiki mbili zijazo katika jiji la Munich nchini Ujerumani ndo tayari ameshawasilishwa siku chache zilizopita.
Tuombe mungu atufikishe salama siku hiyo ya Mtanange: Amen
No comments:
Post a Comment