"Ni wimbo wa kawaida sana wala sijaona mabadiliko wala ubunifu, bila kuambiwa hata wewe utajua tu kuwa ni nani anaeimba". Maneno hayo aliongea rais wa Masharobalo na Bosi wa Sharobalo records bwana Bob Junior, alipokuwa akifanya mahojiano na Soud brown wa Clouds Fm. kwenye kipindi cha xxxL. Pia aliongeza kwa kusema kwa sasa nipo tayari kupimana nae nae uwezo kwani watu sio wajinga waangalia kipaji na sio majigambo
No comments:
Post a Comment