Ni mzaliwa wa Mbeya na aliyekulia na kusomea mkoni humo, lakini alikuwa akiwakilisha mkoa wa Dar es Salaam katika shindano la kuimba la "Bongo Star Search" ambalo limefikia kilele masaa machache yaliyopita. Hakuna ubishi wala utata kuwa huyu ndiye mshindi na amejinyakulia kitita cha shilingi za kitanzania milioni 50 ikiwa inakaribia sawa na dola za kimarekani 50,000/=
HONGERA SANA WALTER
No comments:
Post a Comment