Hamisi Kitale kwenye pozi la kazi
Msanii maarufu wa filamu za vichekesho Afrika Mashariki "kitale" ambaye amepata umaarufu sana kwa "style" yake ya uteja hivi karibuni amevunja ukimya na kufunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa siku ya jumapili ijayo. Akiongea na washkaji zake wa karibu kitale alisema katika maisha yake amepitia matatizo mengi na amekutana na changamoto za aina mbalimbali. Hivyo ameamua kuoa na kutulia kujenga familia iliyo bora. The Dj Max Entertainments tunampongeza na kumuombea kila la heri katika ndoa yake
No comments:
Post a Comment