Thursday, January 17, 2013

PROFESA JAY AWACHIMBIA MKWARA WASANII CHIPUKIZI



"Machipukizi msitukane Wakunga kwa kuwa mnasifiwa kuwa wakali kwa hiyo album moja, Tutaongea lugha moja mkiwa na album ya tano...MMENIELEWA??"

Maneno hayo juu ndio ilikuwa status ya kwenye ukurusa wa facebook ya mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Josseph Haule maarufu kama Prosefa Jay. Ingawa hakufafanua kwa undani zaidi alimaanisha nini lakini watafiti wa mambo wanadai ni kuwa alikuwa anawatahadharisha madogo wasijisahau kutokana na umaarufu ambao wameanza kuupata juzijuzi.

No comments:

Post a Comment