Thursday, January 10, 2013

SIMBA WAWASILI NCHINI OMAN KWA MAANDALIZI YA LIGI




Baadhi ya wachezaji wa simba walipowasili nchini Oman, wakiwa wanajisajili katika Hoteli waliyofikia yenye hadhi ya 5 star iitwayo Almadinah Holiday. Timu ya Simba itapiga kambi nchini Oman kwa muda wa wiki mbili kufanikisha maandalizi ya mzunguko wa pili wa ligi kuu ya mpira wa miguu Tanzania Bara (Tanganyika)

No comments:

Post a Comment