Monday, July 23, 2012

FC BAYERN CAMPING IN BEIJING CHINA WITHOUT CAPTAIN LAHM AND SCHWEINSTEIGER


Kikosi kamili cha timu ya Bayern Munich kilipowasili mjini Beijing China bila ya Manahodha wake Philipp Lahm na Bastian Schweisteiger.

 Sababu za kuwaacha mastaa hao ni kuwapa mapumziko kwa kuwa Lahm amecheza mechi nyingi sana mfululizo kwa zaidi ya miaka miwili. Pia Bastian anapumzishwa kutokana na kuumia mara kwa mara, ingawa wawili hao wameanza mazoezi ya peke yao katika uwanja wao wa nyumbani wa mazoezi uliopo maeneo ya "Säbener Str." jijini Munich, wakiwa chini ya waalim maalum wakipewa mazoezi maalum.



Kocha wa Fc Bayern Jupp Heynckes (mwenye jezi nyeusi) akiwa na wachezaji wapya aliowaongeza kwenye kikosi msimu huu.

kutoka juu koshoto ni Tom Starke (mlinda mlango), Lulas Raeder (mlinda mlango), Claudio Pizarro, Dante, Emre can, Xherdan Shaqiri na Mitchell Waiser

No comments:

Post a Comment