Baadhi ya wachezaji wa FC Bayern wakiwa kwenye benchi la ufundi na jezi zao zenye majina ya kichina, kutoka kushoto ni Mario Gomez, Thomas Müller na Holger badstuber.
Jionee mwenyewe jinsi maina yao yalivyoandikwa kichina, Bayern walicheza jana mechi ya kirafiki dhidi ya wenyeji wao wa Beijing na kuwakandamiza magoli 6 kwa sifuri bila huruma.
No comments:
Post a Comment