Monday, July 30, 2012

WAKALI WA KUTOKA MOMBASA (SAV CLAN) WAACHIA SONGI JIPYA WAKIMSHIRIKISHA MH TEMBA NA DOGO ASLAY



 
Vijana wawili machachari kutoka Mombasa Kenya, Amour na Shirko ambao kwa pamoja wanaunda kundi la Sav Clan. Hapa wakiwa wamemshirikisha Dogo Aslay na mheshimiwa Temba ambao ni wakali kutoka Temeke Tanzania. Jina la ngoma ni "KICHECHE"

No comments:

Post a Comment