Thursday, July 19, 2012

FRANK RIBERI AJIUNGA AANZA MAZOEZI NA WENZAKE RASMI



Ribery akilingisha uzi mpya wa Fc Bayern


Mchezaji machachari, ambae ni mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Fc Bayern yenye makazi yake mjini munich nchini ujerumani. Mchezaji huyo raiwa ufaransa leo amejiunga rasmi na wenzake walio kambini kwa maandali ya msimu ya msimu ujao wa ligi kuu ya ujerumani"BUNDESLIGA" . Pia ikumbukwe kuwa bayern Munich wanakabiliwa na mechi ngumu dhidi ya mahasimu wao wakubwa " Dortmund" pia ya ujerumani katika wiki chache zijazo.

Katika kipindi cha misimu miwili ya ligi ya ujerumani  "BUNDESLIGA" timu ya Dortumund imekuwa ikibahatisha kuwafunga Fc Bayern licha ya mchezo mzuri unaonyeshwa na wekundu hao wa ujerumani.

Mchezo kati ya Fc Bayern dhidi ya Dortumund utafanyika ndani ya uwanja wa Allianz Arena, ikiwa ni fainali ya super cup, mnamo tarehe 12 August 2012

No comments:

Post a Comment