Wednesday, July 18, 2012

FC BAYERN YAFANYA MAUAJI YA KIKATILI


YAWACHARAZA TRENTIONO MAGOLI 11 BILA HURUMA



Mshambulia mwenye mbwembwe za kipekee Arjen Robben  akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Trentino ya Itally walipokuwa wakicheza mechi ya kirafiki nchini Itally hapo jana ambapo Fc Bayern waliibuka na ushindi wa Magoli 11 kwa duara



Beki wa kushoto wa fc Bayern ambaye ni kijana mdogo na mwenye kasi ya ajabu David Alaba akiwapeleka  puta mateja wa kitaliano



No comments:

Post a Comment