YAWACHARAZA TRENTIONO MAGOLI 11 BILA HURUMA
Mshambulia mwenye mbwembwe za kipekee Arjen Robben akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Trentino ya Itally walipokuwa wakicheza mechi ya kirafiki nchini Itally hapo jana ambapo Fc Bayern waliibuka na ushindi wa Magoli 11 kwa duara
Beki wa kushoto wa fc Bayern ambaye ni kijana mdogo na mwenye kasi ya ajabu David Alaba akiwapeleka puta mateja wa kitaliano
No comments:
Post a Comment