Saturday, July 28, 2012

JOSE CHAMELEONE NI TAPELI??? YASEMEKANA KUWA ANAFANYA KAZI ZAKE KWA UBABAISHAJI SANA!!!




AMEWAHI KUMPIGA CHANGA LA MACHO DJ JAY DEE

Dj Jaydee (Johhn Dillinga Matjor) muandaaji wa matamasha nchini Tanzania ambae pia aliwahi kufanyiwa utapeli na msanii Jose Chameleone mwaka 2005.

Sakata la msanii Jose Chameleone kutoka Uganda kuchuliwa hati yake ya kusafiria "Passport" na muandaaji wa matamasha ambae pia ni mmiliki wa kampuni ya Global Publisher, "the big name" Eric James shigongo lachukua taswira mpya. Ni baada ya mashuhuda lukuki kujitokeza na kutoa ushuhuda wao juu ya vitendo vya kihuni walivyofanyiwa na msanii huyo. 

Moja wa mashuhuda hao ni mtabgazaji wa radio na Dj maarufu nchini Tanzania mwenye asili ya South Africa Dj Jaydee, ambaye pia ni muandaaji wa matamasha.Dj Jaydee alitoa ushuhuda wake mbele ya waandishi wa habari hapo jana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment