Picha ikionyesha shamrashamra zilivyotawala mjini Dortmund wakati wa mechi ya ufunguzi wa ligi kuu ya mpira wa miguu Ujerumani (Bundesliga), ambaopo mabingwa watetezi Borussia Dortmund waliwapa kichapo maridadi Werder Bremen cha Magoli mawili kwa moja.
No comments:
Post a Comment