Friday, August 24, 2012

DORTMUND WAANZA VIZURI KUTETEA UBINGWA WAO WA BUNDESLIGA





Picha ikionyesha shamrashamra zilivyotawala mjini Dortmund wakati wa mechi ya ufunguzi wa ligi kuu ya mpira wa miguu Ujerumani (Bundesliga), ambaopo  mabingwa watetezi Borussia Dortmund waliwapa kichapo maridadi Werder Bremen cha Magoli mawili kwa moja.

No comments:

Post a Comment