Wednesday, August 1, 2012

PREZZO KUIBUKA MSHINDI BIG BROTHER AFRICA??? APEWA "SUPORT" NA WAZIRI MKUU WA KENYA BW. RAILA ODINGA




Mwakilishi wa Kenya ndani ya jumba la "Big Brother"ambaye kwa sasa anasimama kama mwakilishi wa Afrika Mashariki Prezzo anayepewa nafasi kubwa ya kuibuka mshindi na mashabiki wengi, pia anapigwa tafu la nguvu na waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga ambaye amekuwa akiwahamasisha watu wampigie kura.


No comments:

Post a Comment