Tuesday, August 21, 2012

SHETTA AJITOA DARSTAMINA, KUANZISHA KUNDI LAKE




Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania sheta ameamua kujitoa na katika kundi la Darstamina, hatimae amaemua kuanzisha kundi lake litakalokwenda kwa jina la shettateam. Sheta aliweka wazi dhamira yake hiyo kinaga ubaga alipokuwa akipiga stori na Dj Fetty pia amesisitiza kuwa ataweka wazi sababu za kujitoa kundi la Darstamina hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment