Sunday, August 5, 2012

PROFESSOR JAY AWAKANYA WANAOMZUSHIA KIFO DIAMOND PLATNUMZ "MNYAMA"





(Diamond alipokuwa Hospital akifanyiwa check up)

Msanii mkonngwe "Big daddy" Josseph Haule almaarufu kama Profesa Jay, jana aliandika kwenye face book wall yake kuwakemea wanaomzushia kifo msanii machachari Diamond Platnumz ukipenda unaweza kumwita Mnyama au raisi wa wasafi.

Diamond ni mzima wa afya na bado yuko ngangari anadunda mtaani hayo ni baadhi maneno yaliyoandikwa na mkongwe Jay katika ukuta wake wa uso kitabu jana.Pia aliwakemea watu waache tabia ya uzushi na udaku. Diamond hajafa ila alikuwa anaumwa tu kama binadamu mwingine yoyote anavyoweza kupatwa na maradhi.

Kwa niaba ya Dj Max Entertainments na wana Afrika mashariki wote wa hapa ujerumani tunamuombea afya njema mnyama Diamond na apone haraka

No comments:

Post a Comment