Friday, August 3, 2012

JAGUAR: NAMSAPORT PREZZO KWENYE BIG BROTHER KWA KUWA NI MKENYA MWENZANGU




Msanii maarufu Afrika mashariki kutoka nchini kenya JaguarKenya "Mzee wa kigeugeu" amefunguka na kusema kwa sasa anampa suport mshiriki kutoka kenya kwenye jumba la Big Brother Africa ambaye pia ni msanii kutoka Kenya "PREZZO"

Pia amekanusha kuwa amekuwa akitumia account yake ya "Tweetwer" kuwahamasisha funs wake wasimpigie kura Prezzo na kama star huyo atashinda basi yeye Jaguar atahamia nchini Uganda for good. "Mimi sina account ya tweeter na wala sio mimi niliandika message hizo, mtandao pekee ninaotumia ni face book. I suport Prezzo just because he is Kenyan like me" alisema Jaguar

No comments:

Post a Comment