Wednesday, August 15, 2012

TUNDA MANA ARUDIA "SHOOTING" YA WIMBO WA DEMU SIO BAADA YA VIDEO YA KWANZA KUONEKANA KUWA HAINA VIWANGO




Tunda Man akiwa katika harakati za kufanya video hiyo kwa mara ya pili baada ya mashabiki kudai kuwa ile ya kwanza haina viwango pamoja kuwa aliifanya kwa director machachari bongo Adam Juma

No comments:

Post a Comment