Sunday, August 12, 2012

FC BAYERN KUFUTA UTEJA KWA DORTMUND LEO?????




Ikiwa ni misimu miwili mfululizo na kwa zaidi ya mechi tano, Fc Bayern watoto wa kibavaria wameshindwa kabisa kuonyesha makali yao dhidi ya nyuki wa Dortmund pamoja na kuwa na kikosi kinachoogopewa zaidi nchini ujerumani huku wakiwa wamekusanya zaidi ya nusu ya mastaa wa timu ya taifa ya ujerumani.

Leo saa mbili usiku kwa saa za ujerumani na saa tatu kwa saa za Afrika mashariki vigogo hao wataingia uwanjani katika fainali ya kombe la "Super cup" ambayo itapigwa ndani ya Alllianze Arena, uwanja wa nyumbani wa Fc Bayern. Swali la msingi je Bayern bado wataendelea kuwa vibonde????

No comments:

Post a Comment