Sunday, August 5, 2012

WERDER BREMEN MABINGWA WA LIGA TOTAL UJERUMANI





Wachezaji wa Bremen wakifurahia ushindi baada ya kuwakunyuga mabingwa wa ligi ya ujerumani "Bundes Liga" Borussia Dortmund kwa mikwaju ya penat katika mchezo wa fainali uliofanyika jioni ya leo.

Pia kulikuwa na mchezo mwingine wa kutafuta mshindi watatu ambapo Fc Bayern München (champions of the heart) waliwaadhibu mabaharia wa Hamburg kwa kuwachapa kidude

No comments:

Post a Comment