Kifaa kipya cha Fc Bayern kikiwa kinatokea Bilbao, ambapo usajili wake almanusura ulete utata na labda asingeweza kuchezea nyota nyekundu ya kusini (FC BAYERN) hatimaye kila kitu kipo sawa na leo ameanza mazoezi rasmi.
Picha juu inaonyesha akiwa na Bastian Schweinsteiger (kushoto) baada ya mazoezi wakibadilishana mawazo
No comments:
Post a Comment