Sunday, September 16, 2012

DJ DULLY BOY KUWASHA MOTO NDANI YA MEMMINGEN NEXT SATURDAY



Jumamosi ijayo ya tarehe 22 Sptember 2012, mji wa Memminge katika jimbo la Bayern utakuwa na burudani ya muziki usiopimika kutoka kwa Dj Dully boy na Dj Rama. Bila kusahau the Most wanted "Dj Max" pia atawakilisha.

Burudani hii ni kuanzia mida ya saa tatu usiku mpaka asubuhi, pia kutakuwa na chakula cha ki Africa na vinywaji mbalimbali. Zawadi maalum zitatolewa na Mambo Bado sounds na Dj Max Entertainments kwa mwanadada atakaependeza kuliko wote, pia kwa watu watatu watakao cheza vizuri zaidi.

KARIBUNI SANA!!!!

No comments:

Post a Comment