Monday, September 17, 2012

J.B AMPIGIA SALUTI MPOKI WA ORIJINO KOMEDI




Ilikuwa ni kwenye Tamasha la Fiesta mjini morogoro, ndipo muigizaji maarufu Jcob Steven (mwenye fulana nyeupe wa kati) aliposhindwa kujizuia na kujikuta akienda kumwagia minoti baada ya kumvunja mbavu kwa vichekesho vyake. Mchekeshaji anaejulikana kwa jina la Mpoki kutoka kundi la Orijino Komedi au ukipenda unaweza kumwita mwarabu wa Dubay, maarufu kama mwarabu wa Libya au mwarabu mweusi, kwa kuokoa muda mwite bepari wa kihaya.

No comments:

Post a Comment