Ikiwa ni miezi kadhaa imepita tangu kifo chake, aliyekuwa muigizaji wa mahiri "Bongo Movies" Steven Charles Kanumba (The Great). Tayari kuna filamu ambayo aliicheza siku chache kabla ya kifo chake ambayo inakwenda kwa jina la "NDOA YANGU" sasa imeingia madukani ikiwa inasambazwa na steps. Kulingana na uhalisia hii ndio filamu ya mwisho kuchezwa na Kanumba kwa kuwa sasa hatunaye tena duniani.
MUNGU AILAZE PEMA ROHO YA MAREHEMU
No comments:
Post a Comment