Sunday, September 16, 2012

ONLY 6 DAYS REMAINING... JAVI MARTINEZ IS READY FOR OKTOBERFEST




Ikiwa zimebaki siku 6 tu kuelekea kwenye Festival kubwa kuliko zote katika jimbo la Bayern (Oktoberfest), tayari kiungo mpya wa Fc Bayern "Javi Martinez" ameshanunua mavazi ya asili ya kibavaria kwa ajili ya tamasha hilo.

Tamasha hili hufanyika kipindi kama hiki kila mwaka kwa takriban muda wa wiki mbili na nusu, na kwa mwaka huu litaanza rasmi siku ya jumamosi ijayo 22 Sep 2012 mpaka tare 7 Okt 2012. Tamasha hili la wanywa Pombe linalojulikana kama Oktoberfest litafanyika maneneo ya Theresienwiese katika jiji la Munich.

No comments:

Post a Comment