Saturday, September 22, 2012

JAY MOE ATUA STOCKHOLM!!!! TAYARI KWA MAKAMUZI



Msanii wa Bongo Jay Moe a.k.a Mr, Mchopanga wakwanza kulia akiwa na masharobaro wa jiji la Stockholm pia wachezaji wa zamani wa the big team "Simba Sports" ya Dar. Kutoka kushoto ni Shekhan Rashid na Athuman Eid Machupa.

Habari za uhakika zinasema kuwa Jay Moe anatarajia kufanya makamuzi ya ajabu ndani ya jiji la Stockholm siku ya ijumaa ya tarehe 28 September 2012 kuanzia mida ya saa nne usiku mpaka majogoo.



KARIBU WEWE NA MWENZIO


No comments:

Post a Comment