Thursday, September 27, 2012

RICK ROSS KUFANYA BONGE LA SHOW DAR ES SALAAM




Habari zilizothibitika muda mchache uliopita zinasema kuwa msanii kutoka nchini Marekani "Rick Ross" ndiye msanii wa kigeni atakayetumbuiza kwenye kilele cha Tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Media, linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam mnamo tarehe 6 Oktober 2012.

No comments:

Post a Comment