Wednesday, September 5, 2012

HAPPY BIRTHDAY MATHIAS SAMMER (ZUM GERBUSTAG VIEL GLÜCK)




Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya ujerumani na ambae pia aliwahi kuichezea Dortmund, lakini kwa sasa ni kiongozi katika bodi ya michezo kwenye chama kubwa FC BAYERN MÜNCHEN. Herr Mathias Sammer leo amezaliwa na kwa pamoja tunasema "Zum Geburtag viel Glück "

No comments:

Post a Comment